Published On Mar 9, 2020
Utofauti mkubwa kati ya watu waliofanikiwa na watu wasiofanikiwa upo katika maamuzi wanayoyafanya. Watu walliofanikiwa wamekuwa na tabia ya kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na kwa ujasiri. Jifunze maamuzi matano katika somo hili linaloletwa kwako na Victor Mwambene.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / victor_mwambene
For Business please send an email to
[email protected]
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#VictorMwambene #MaamuziSahihi
show more