HUKUMU YA LULU INATOLEWA LEO!!! MTAZAME ALIVYOTINGA MAHAKAMANI!
Global TV  Online Global TV Online
4.8M subscribers
271,622 views
0

 Published On Nov 12, 2017

Subscribe    / uwazi1  
Diva anayejua kuwakuna mashabiki vilivyo kutokana na kipaji chake cha Kuigiza, Elizabeth Michael 'Lulu', amewasili leo Novemba 11, 2017 katika mahakama ya Kisutu Jijini Dar, kwa ajili ya kusikiliza hukumu ya kesi inayomkabili ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa Mfalme wa Bongo Muvi, Steven Kanumba.

Kama iliyo kawaida yake Lulu huwasili mahakamani hapo akiwa ameambatana na watu wake wa karibu akiwemo Mama yake Mzazi, mfanyabiashara Muna na watu wengine.

FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe    / uwazi1   Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…    / uwazi1      / uwazi1      / uwazi1   WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   INSTAGRAM:   / globalpubli.  .

show more

Share/Embed