Goodluck Gozbert - Ipo Siku | Official Music Video
Goodluck Gozbert Goodluck Gozbert
672K subscribers
14,658,104 views
0

 Published On Jun 10, 2016

Goodluck Gozbert presents the music video for Ipo Siku

Subscribe to the channel:    / @gozbertministries  

Follow on Instagram: https://www.instagram.com/goodluckgoz...

Watch Goodluck Gozbert's New EP "USHINDI":    • Goodluck Gozbert - Kina Muuma (Offici...  

IPO SIKU Lyrics

Ni mbali nimetoka Tena ni ajabu kuwa hai
Maana ningeshakufaga
Ni mengi nimeona
Tena ya kuvunja moyo
Labda ningeshamwacha Mungu

Na Kama ni misongo ya mawazo Magonjwa mama
nimepitia ninazoea
Maumivu ya kudharauliwa, umasikini
kila siku, ninajipa moyo

Ipo siku yangu tu,
Ipo Siku, siku
Ipo siku yangu tu
Nami niba niba nibarikiwe,
Ipo siku yangu tu,
Ipo Siku, siku
Ipo siku yangu tu

Nami niba niba nibarikiwe
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Ah nibarikiwe (nibarikiwe)
Oh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
niba, niba, nibarikiwe
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Ah nibarikiwe (nibarikiwe)
Oh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
niba, niba, nibarikiwe

Ingawa kwa sasa wananisema vibaya,
Nami sishangai – najua ni ya wanadamu hayo.
Ingawa sipati na ni kwa muda mrefu
Siachi kuomba; Mungu si kiziwi.
Binadamu wema, ukiwa nacho
Kwa sasa waniepuka sina rafiki wa dhati.
Ooh Kama ni misongo ya mawazo
Magonjwa mama, nimepitia, ninazoea
Maumivu ya kudharauliwa, umasikini

Ni kila siku, ninajipa moyo
Ipo siku yangu tu,
Ipo Siku, siku
Ipo siku yangu tu
Nami niba niba nibarikiwe,
Ipo siku yangu tu,
Ipo Siku, siku
Ipo siku yangu tu

Nami niba niba nibarikiwe,
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Ah nibarikiwe (nibarikiwe)
Oh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
niba, niba, nibarikiwe
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Ah nibarikiwe (nibarikiwe)
Oh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
niba, niba, nibarikiwe

Miaka imepita, unaombaga mtoto hupati
Vuta subira maana Yeye hachelewi
Ona biashara imeandamwa mikosi hupati
Usimwache Mungu, waganga watakuponza
Mpo kwa ndoa ila nyumbani amani hakuna
Msimwache Mungu – michepuko sio jibu
Umeugua tumaini la kupona hakuna
Usimtazame mwanadamu siku yako imekaribia.

Najua Ayaya
Najua ayaya
Najua ayaya niko poa
Najua Ayaya
Najua ayaya
Najua ayaya niko poa
Misukosuko ya ndoa
Mtoto anakusumbua

Giza likiingia unawaza wapi utalala
Masimango Mashemeji, ati huzai mtoto
Masimango mama wa kambo, Umemchosha nyumbani
Usiwaze usiumie, najua yote yatapita
Siku imekaribia, najua yote yatapita (uba uba ubarikiwe)
Nawe ubarikiwe, ubarikiwe
Ah ubarikiwe ubarikiwe
Nawe ubarikiwe ubarikiwe
uba uba ubarikiwe
Nawe ubarikiwe, ubarikiwe
Ah ubarikiwe ubarikiwe
Nawe ubarikiwe ubarikiwe
uba uba ubarikiwe

show more

Share/Embed